Vijana wakazi wa kijiji cha Kirando wilayani Nkasi mkoani Rukwa wakivua samaki wadogo katika ziwa Tanganyika kwa kutumia Chandarua kama walivyokutwa na Lyamba Lya Mfipa hivi karibuni.Hapa Chandarua(Mosquito Net) kimebadilishwa matumizi badala ya kumkinga binadamu asing'atwe na mbu akiwa amelala kinatumika kama nyenzo ya uvuvi.
No comments:
Post a Comment