Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Sunday, November 25, 2012

MATUMIZI HARAMU YA CHANDARUA

Vijana wakazi wa kijiji cha Kirando wilayani Nkasi mkoani Rukwa wakivua samaki wadogo katika ziwa Tanganyika kwa kutumia Chandarua kama walivyokutwa na Lyamba Lya Mfipa hivi karibuni.Hapa Chandarua(Mosquito Net) kimebadilishwa matumizi badala ya kumkinga binadamu asing'atwe na mbu akiwa amelala kinatumika kama nyenzo ya uvuvi.

No comments:

Post a Comment