Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Sunday, August 11, 2013

CRDB WALIPOPANDA MITI NA KUKARABATI JENGO LA WODI YA WANAWAKE KATIKA HOSPITALI YA META MBEYA

Waziri wa Uchukuzi Dk.Harison Mwakyembe(Kushoto) akisaidiana na Mkurugenzi mtendaji wa benki ya CRDB Dk.Charles Kimei kupanda mti kwenye eneo la hospitali ya Rufaa Mbeya tawi la Meta ambapo miti 200 ilipandwa na wafanyakazi pamoja na wadau wa benki hiyo.Katikati ni mkuu wa wilaya ya Mbeya Dk.Norman Sigala.WANAHABARI NAO WALIKUWA MSTARI WA MBELE KUSHIRIKI ZOEZI LA UPANDAJI MITI KAMA ANAVYOONEKANA KENETH NGELESI MWENYE KOTI LA KAKI NA MWENZAKE GEORGE CHANDA ALIYEVALIA SUTI DK.Mwakyembe akipaka rangi kwenye moja ya kuta za wodi ya wazazi MetaMama Mwakyembe naye akishiriki kupaka rangi moja ya kuta za jengo la wodi ya wazazi katika hospitali ya Meta Mbeya

No comments:

Post a Comment