Wachezaji wa timu ya soka ya Mbeya City wakiomba dua mara baada ya kumaliza mazoezi jioni hii ndani ya uwanja wa sokoine.Kwa mara ya kwanza timu hii itashiriki ligi kuu ya Tanzania bara itakayoanza kutimua vumbi jumamosi hii.
SHUGHULI YA UPUNGUZAJI KIMO CHA NYASI NDANI YA UWANJA HUO LIKIENDELEA KAMA KIJANA HUYU ALIVYOKUTWA NA Lyamba Lya Mfipa JUZI.
No comments:
Post a Comment