Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Sunday, August 11, 2013

MBEYA CITY YATANGAZA JEZI MPYA ZA MASHABIKI

Hizi ndizo jezi zitakazoanza kuuzwa kwa mashabiki wa timu ya soka ya Mbeya City hivi karibuni.Kwa mara ya kwanza timu hiyo itashiriki ligi kuu ya Tanzania Bara msimu huu.

No comments:

Post a Comment