Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Friday, August 23, 2013

I LOVE MBEYA CITY

Mhariri mkuu wa Lyamba Lya Mfipa Bw.Joachim Nyambo(Aliyevaa kofia) akiwa na wadau mbalimbali wa timu ya soka ya Mbeya City siku moja kabla ya kuanza kutimua vumbi kwa ligi kuu ya Tanzania bara ambayo timu hiyo ya jijini Mbeya inashiriki.Mchezo wa kwanza ndani ya Dimba la Sokoine jijini Mbeya Mbeya City itamenyana vikali na Kagera Sugar kutoka Bukoba.Lyamba Lya Mfipa inaitakia kila la Kheri Mbeya City.

No comments:

Post a Comment