Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Friday, August 23, 2013

MAANDALIZI MASHINDANO YA CHANETA TAIFA NDANI YA UWANJA WA SOKOINE JIONI HII

Mmoja wa viongozi wa timu ya Netiboli ya Jiji la Mbeya(Hamambe) akiwapa neno wachezaji wa timu hiyo kama walivyokutwa na Lyamba Lya Mfipa jioni hii ndani ya uwanja wa Sokoine ikiwa ni maandalizi ya mashindano ya kitaifa ya mchezo huo yanayoanza kutimua vumbi jumamosi kwa michezo minne

No comments:

Post a Comment