Mmoja wa viongozi wa timu ya Netiboli ya Jiji la Mbeya(Hamambe) akiwapa neno wachezaji wa timu hiyo kama walivyokutwa na Lyamba Lya Mfipa jioni hii ndani ya uwanja wa Sokoine ikiwa ni maandalizi ya mashindano ya kitaifa ya mchezo huo yanayoanza kutimua vumbi jumamosi kwa michezo minne
No comments:
Post a Comment