Mgomba
una uwezo mkubwa wa kuhifadhi maji.Hii inaweza kuwa faida kubwa kwa wakulima wa
mboga mboga.Toboa matundu katika shina la mgomba uliokatwa kama inavyoonekana
katika picha hapo juu,weka udongo wenye mchanganyiko na mbolea kwenye matundu
hayo na kasha na kisha pandikiza miche yako.
No comments:
Post a Comment