Mkuu wa hifadhi ya taifa Kitulo iliyopo wilayani Makete mkoani Njombe
akiwa pamoja na wanahabari wa chama cha utalii na uwekezaji Tanzamia
TAJATI kwenye ofisi za hifadhi ya kitulo
Wanatajati Ester Macha na Brandy Nelson wakiangalia moja ya picha walizopika kupitia simu ya mkononi wakiwa kwenye hifadhi ya Kitulo.
Picha kwa hisani ya Rashid Mkwinda
No comments:
Post a Comment