Wadau mbalimbali wa Autumn Harvest wakiendelea kufurahia kinywaji hicho huku wakijiselfie kwenye uzinduzi uliofanyika katika Hoteli ya Paradise jijini Mbeya.Kinywaji hicho hivi sasa kitakuwa kinaingizwa nchini kwa njia halali na kampuni ya Tanzania Distillers Limited(TDL) kikitokea Afrika Kusini kinakotengenezwa.
Wasanii wa Kundi la Makhirikhiri la Mbeya
wakitumbuiza kwenye hafla hiyo fupi ya uzinduzi.
Mmoja wa wadau hau Francis Mwasamwene akichangia mwazo wakati wa hafla.
Wasanii moja wa kundi la Makhirikiri la Mbeya wakiwa katika picha ya pamoja na Mhariri mkuu wa Lyamba Lya Mfipa Bw.Joachim Nyambo(wa pili kulia)Meneja Autumn Harvest nchini Diana Balyagatiakizungumza jambo.
No comments:
Post a Comment