Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Friday, June 28, 2013

WAREMBO 12 KUWANIA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI 2013 HII LEO

HINDANO LA REDDS MISS KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI 2013 LINAFANYIKA USIKU WA LEO JIJINI MBEYA LIKISHIRIKISHA JUMLA YA WAREMBE 12 KUTOKA MIKOA YA RUKWA,KATAVI,MBEYA,IRINGA,NJOMBE NA RUVUMA KATIKA UKUMBI WA MTENDA ULIOPO SOWETO.KWA MUJIBU WA MRATIBU WA MASHINDANO HAYO FREDDY HELBERT,KIINGILIO KITAKUWA SH.10,000 KWA VITI VYA KAWAIDA NA SH.25,000 KWA VIP AMBAO WATAPATA NA CHAKULA CHA USIKU UKUMBINI HAPO. SHUGHULI NZIMA ITASINDIKIZWA NA BURUDANI KUTOKA BENDI YA FM ACADEMIA MAARUFU KAMA WAZEE WA NGWASUMA

No comments:

Post a Comment