Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Thursday, July 25, 2013

SIKU YA MASHUJAA MBEYA YAFANA

Mkuu wa wilaya ya Chunya Deodatus Kinawiro ambaye pia ni mwenyekiti wa wakuu wa wilaya za mkoa huo ndiye aliongoza maadhimisho hayo akimwakilisha mkuu wa mkoa Abbas Kandoro aliyeko likizo.Picha ya Kwanza Kinawiro akisalimiana na viongozi mbalimbali wa vikosi vya ulinzi na usalama.PATA PICHA ZAIDI HAPA CHINIWANAHABARI PENDO FUNDISHA(KULIA) NA AMANI MBILO WAKIWA WAMESHIKANA MIKONO KWA HOFU YA KISHINDO CHA MIZINGA MITATU ILIYOPIGWA IKIWA NI ISHARA YA KUWAKUMBUKA ASKARI MASHUJAA WALIOPOTEZA MAISHA KWENYE VITA KUU YA PILI YA DUNIABAADA YA KUPIGWA MZINGA WA KWANZA HALI ILIKUWA NAMNA HII JAPO HAKUNA MTU ALIYERIPOTIWA KUPATA MAJERAHA YA AINA YOYOTE YATOKANAYO NA MSHITU JAPO WAPO WACHACHE WALIOTIMUA MBIO KUKIMBIA ENEO LA TUKIO

No comments:

Post a Comment