Wajumbe wa kamati wakihuzunika baada ya kusomewa taarifa za vitendo vya kikatili vinavyofanyika katika kata za Ilembo na Masoko wilayani Mbeya.
Afisa mradi wa GBV na VAC katika kata za Ilembo na Masoko Patrick Kosima akiwasilisha taarifa ya vitendo vya ukatili katika kata hizo.
Muelimishaji wa mradi wa GBV na VAC Jason Alam akitoa taarifa juu ya changamoto wanazokumbana nazo wakati wa kutekeleza majukumu yao.
No comments:
Post a Comment