Hapa ni eneo la Isunta katika mji wa Namanyere wilayani Nkasi mkoani Rukwa.Hii ni ofisi ya mtaalamu wa kuchonga misalaba na kutengeneza majeneza.Jamaa anaitwa Gilbert Paul anaijua tarehe yake ya kuzaliwa lakini kifo kaweka kiulizo kwakuwa hajui kitamkuta lini.Maandiko matakatifu yanasema kila nafsi itaonja mauti!
No comments:
Post a Comment