Mhariri mkuu wa Blogu ya Lyamba Lya Mfipa Joachim Nyambo akiangalia namna watoto wa kijiji cha Masoko kata ya Masoko wilayani Mbeya wanavyoweza kusakata Rhumba.
Watoto wakiendelea kushindana kucheza muziki wakisaidiwa na MC Ben Benjamin a.k.a Dable B
Afisa mradi wa kupinga ukatili wa kijinsia(GBV) na ukatili dhidi ya watoto(VAC) Patrick Kosima akicheza muziki na mshindi wa shindano la kucheza muziki wakati wa kampeni ya kutoa elimu ya kupinga ukatili katika kata ya masoko
Mhariri mkuu wa Lyamba Lya Mfipa Joachim Nyambo akiwa na watoto wa Masoko wilayani Mbeya
Hapa afisa mradi wa GBV na VAC Patrick Kosima akicheza muziki na watoto waliokutwa jirani na mto
No comments:
Post a Comment