WATUMISHI
wa halmashauri ya jiji la Mbeya wametakiwa kutofautisha misingi ya utendajikazi
wa shughuli zao na hisia za kisiasa.
Mkuu
wa wilaya ya Mbeya Norman Sigalla ametoa onyo hilo leo(Julai 3) alipokuwa
akizungumza na watumishi wa idara mbalimbali za halimashauri hiyo ikiwa ni
mkutano wake wa kwanza tangu ahamie wilayani hapa.
Sigalla
amesema watumishi hao wanapaswa kutambua kuwa hisia za kisiasa haziwahusu na
kuziendekeza kunaweza kuzoroptesha utendaji kaazi wao na kuwafanya wavurunde.
No comments:
Post a Comment