Ukiwa katika kijiji cha Ilembo yalipo makao makuu ya kata ya Ilembo wilyani Mbeya ni jambo la kawaida kukutana na makundi ya mifuho hususani Mbuzi ikizurura hovyo katika mitaa mbalimbali ya kijiji hiki.Jambo la kushangaza ni kuwa hata waakati wa usiku mbuzi hawa hakuna anayewakumbuka kuwafungia katika mabanda
No comments:
Post a Comment