Mkuu wa mkoa wa Mbeya,Abbas Kandoro akishiriki kucheza ngoma ya asili ijulikanano kama Ndili iliyopigwa na kikundi cha sanaa cha kijiji cha Ichesa alipokuwa katika ziara ya ufuatiliaji wa uboreshaji miundombinu kwaajili ya utekelezaji wa mpango wa kitaifa wa Matokeo makubwa sasa(BRN)
No comments:
Post a Comment