ZIARA YA Lyamba Lya Mfipa KATIKA OFISI YA LUGHA YA KIMALILA ILIYOPO KATIKA KATA YA ILEMBO WILAYANI MBEYA
.
Mhariri mkuu wa Lyamba Lya Mfipa Bw.Joachim Nyambo(Kulia) akiwa na Mratibu wa Kisomo na matumizi ya Biblia katika Ofisi ya Lugha ya Kimalila iliyopo katika kata ya Ilembo Bw.Heri Mwile
Vitabu mbalimbali vilivyoandikwa kwa lugha ya Kimalila vinavyopatikana ndani ya ofisi hiyo.Chini ni Ilabu ambazo hutumika kusoma na kuandika lugha ya Kimalila
No comments:
Post a Comment