OPARESHENI YA KUKAMATA NGUO ZA NDANI ZA MTUMBA JIJINI MBEYA
Afisa viwango na mkaguzi wa TBS Paul Manyirifa akizungumza na waandishi wa habari juu ya oparesheni hiyo iliyomalizika kwa kumkamata mtu mmoja pekee aliyekuwa akiuza soksi za mtumba katika soko la Mbalizi
Kamanda wa polisi mkoani Mbeya Ahmed Msangi akielezea namna jeshi la polisi litakavyoendelea na oparesheni ya kukamata nguo za ndani za mtumba
Oparesheni ilimalizika kwa kuteketeza bidhaa zilizokamatwa nje ya jengo la ofisi ya kamanda wa polisi mkoani Mbeya.
No comments:
Post a Comment