Madereva wa mabasi yanayosafirisha abiria kwa safari za Arusha Mbeya wanatajwa kuwa miongoni mwa wasafirishaji wakubwa wa Mirungi kutoka jijini Arusha kupeleka mikoa ya Dodoma,Iringa na Mbeya.
Uchunguzi uliofanywa na Lyamba Lya Mfipa umebaini kuwa hata pale askari wa barabarani (Traffic) wanapokuwa wamepewa taarifa juu ya dereva kupakia milungi katika gari yake na kupewa namba za basi husika wamekuwa wakishindwa kuwa kamata kwakuwa madereva hao hubadikli vibao vinavyoelekeza safari za gari husika kila wanapokaribia kituo cha askari hao
No comments:
Post a Comment