WATOTO watano waliokuwa wakioga katika mfereji wa Mwanjejele, uliopo
Igurusi Wilaya ya Mbarali, Aprili 22 mwaka huu majira ya saa tisa
alasiriwaliokota begi lililokuwa linaelea katika maji ya mfereji huo na kukuta
maiti ya mtoto mchanga.
Maiti hiyo
ikiwa imeharibika vibaya kutokana na kuoza ndipo walipolichukua begi hilo na
kulipeleka katika Kituo cha Polisi cha Igurusi.
No comments:
Post a Comment