Kanisa Katoliki la Namanyere wilayani Nkasi lililojengwa miaka kadhaa iliyopita.Mmiliki wa mtandao huu Joachim Nyambo nina historia kubwa na kanisa hili kwani nikiwa mtoto nilipata ubatizo hapa na pia komunio ya kwanza kabla sijauhama mji wa Namanyere
No comments:
Post a Comment