Halmashauri ya wilaya ya Mbeya imemetishia kuweka msimamo wa kuwashawishi wananchi kutouza zao la pareto katika msimu ujao iwapo serikali haitataka soko huria katika ununuzi huo.
Hayo yamejadiliwa na kuazimiwa katika kikao kifupi kilichowakutanisha madiwani na baadhi ya viongozi wa kampuni mbalimbali zilizoshiriki kununua pareto lakini kwa kupewa leseni mwishoni mwa msimu uliopita lakini huenda msimu ujao wasipewe leseni hizo
No comments:
Post a Comment