Lyamba Lya Mfipa
Na Joachim Nyambo
Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com
Thursday, April 26, 2012
MIAKA 48 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR
Nia miaka 48 sasa imepita tangu Rais wa kwanza wa Jamhuri ya muungano wa Tanzaania hayati baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipochanganya udongo wa Tanganyika na Zanzibar na kuunda muungano uliodumu mpaka leo
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mkono baadhi ya watu waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 48 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar leo katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment