Kwa CCM ni msiba mzito lakini kwa Chadema ni furaha na kicheko.Ni baada ya CCM kushindwa kutetea kata iliyokuwa ikiongozwa na diwani kutoka chama hicho kabla ya kifo chake kilichotokana na kupigwa risasi nyumbani kwake.Ikalazimu ufanyike uchaguzi mdogo lakini CCM wakashindwa kutetea kata hiyo
Matokeo Kamili ya Kiwira: Walio Jiandikisha walikuwa 11866 Kura zilizo pigwa zilikuwa 4341 kula zilizo haribika 24, Chadema 2621, CCM 1649, NCCR 33, CUF 13 hivyo Chadema wameshinda katika uchaguzi wa UDIWANI
No comments:
Post a Comment