Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Saturday, March 31, 2012

SASA NI MKOANI RUKWA,KAAA TAYARI KUPATA HABARI ZAIDI NA MATUKIO YA MKOA WA RUKWA

Mwandishi mkuu wa mtandao huu wa kijamii Joachim Nyambo amewasili mkoani Ruklwa kwa ziara ya kikazi inayotarajiwa kuibua mambo mengi na kuwekwa bayana katika mtandao huu.Kwa habari na matukio zaidi endelea kuwa nasiUfukwe uliopo katika kijiji cha Kabwe mwambao mwa ziwa Tanganyika

No comments:

Post a Comment