Mwandishi mkuu wa mtandao huu wa kijamii Joachim Nyambo amewasili mkoani Ruklwa kwa ziara ya kikazi inayotarajiwa kuibua mambo mengi na kuwekwa bayana katika mtandao huu.Kwa habari na matukio zaidi endelea kuwa nasiUfukwe uliopo katika kijiji cha Kabwe mwambao mwa ziwa Tanganyika
No comments:
Post a Comment