Chama cha soka mkoa wa Mbeya Mrefa kimeukataa uchaguzi wa chama cha soka wilayani Mbeya MUFA uliofanyika Februari 25 mwaka huu kikisema baadhi ya wagombea walipitishwa njia za mkato.
Kutokana na hali hiyo chama hicho kimesema hakiwatambui baadhi ya viongozi waliochaguliwa na inabidi uchaguzi urudiwe
No comments:
Post a Comment