Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Tuesday, March 27, 2012

MABOMU YA KIGAMBONI

Ukweli umebainika kuwa kile kilichosadikiwa na wakazi wa kigamboni kuwa mabomu yanalipuka katika kambi ya jeshi ya Kigamboni hakikuwa na ukweli bali wanajeshi wa kambi hiyo walikuwa katika mazoezi ya upigaji mizinga lakini hawakuwaarifu wakazi wa maeneo ya jirani

No comments:

Post a Comment