Ukweli umebainika kuwa kile kilichosadikiwa na wakazi wa kigamboni kuwa mabomu yanalipuka katika kambi ya jeshi ya Kigamboni hakikuwa na ukweli bali wanajeshi wa kambi hiyo walikuwa katika mazoezi ya upigaji mizinga lakini hawakuwaarifu wakazi wa maeneo ya jirani
No comments:
Post a Comment