Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Sunday, March 25, 2012

NILIPOTEMBELEA SHULE YA SEKONDARI KIWANJA WILAYANI CHUNYA

Mkuu wa wilaya ya Chunya Deodatusi Kinawiro akifikiria jambo baada ya mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro kulikataa jengo la hosteli akisema usakafiaji wake umechakachuliwa

No comments:

Post a Comment