Lyamba Lya Mfipa
Na Joachim Nyambo
Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com
Monday, March 26, 2012
WATOTO WAPEWA ZAWADI ZA CHRISTMAS NA SHIRIKA LA OCC
Hapa watoto wakisubiri
Baadhi yao wakiimba na kucheza kabla ya kupewa zawadi
Afisa maendeleo ya jamii jiji la Mbeya Victor Kabuje alipomwakilisha mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro kuzindua ugawaji wa zawadi hizo kwa mwaka huu
Mgeni rasmi akigawa zawadi kwa watoto waishio katika mazingira magumu jijini Mbeya
Watoto wakiwa na zawadi zao
Hapa wakionyesha furaha baada ya kupewa zawadi hizo zinazotolewa klila mwaka na shirika la kimataifa la Samaritans Purse lenye makao makuu yake nchini Marekani.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment