Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Mhandisi Stella Manyanya akisalimiana wa viongozi mbalimbali wa Serikali muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa mjini Sumbawanga wakati wa uzinduzi wa safari za anga jana. |
Katibu tawala wa mkoa wa Rukwa, Salum Chima akijiandaa kushuka katika ndege hiyo jana wakati wa uzinduzi wa safari za anga kutoka Dar es salaam kuelekea Sumbawanga. |
No comments:
Post a Comment