MCHUNGAJI wa kanisa la Assemblis Of God KOSIMAS MWASENGA na mwenzake LUSEKELO MWASHILINDI wamehukumiwa kifungo cha miaka nane jela kila mmoja kwa kosa la kukutwa na viungo vya binadamu.
Awali akisoma mashtaka yanayowakabili washitakiwa hao wawili mwanasheria wa Serikali Christine Joas amesema watuhumiwa walikamatwa Februari 13 mwaka 2009 maeneo ya Mlowo wilayani Mbozi wakiwa na viungo vya binadamu vilivyokuwa vimefichwa bafuni.
No comments:
Post a Comment