Lyamba Lya Mfipa
Na Joachim Nyambo
Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com
Wednesday, March 7, 2012
MBEYA JIJI WAZINDFUA UPANDAJI MITI
Halmashauri ya jiji la Mbeya leo imezindua upandaji miti ambapo miti 3000 imepandwa katika uzinduzi huo kwenye kata ya Isyesye.Upandaji miti huo pia umewashirikishwa wanafunzi kutoka shule mbalimbali za sekondari zilizopo jirani na eneo hilo
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment