SHOMARI KAPOMBE MWANASOKA BORA 2011/2012
Mchezaji
wa zamani wa timu ya Coast Union ya Tanga na Timu ya taifa Salim Amir
akikabidhi tuzo kwa mchezaji Shomari Kapombe
Mwenyekiti
wa kamati ya Tuzo za TASWA Masoud Saanane akizungumza katika hafla ya utoaji wa
tuzo hizo usiku wa kuamkia leo kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment