Mkurugenzi
wa African Stars Entertainment (ASET), akitambulisha safu mpya ya
uongozi wa bendi. Muddy Pizzaro anakuwa Msemaji wa bendi, Muddy K
anakuwa Meneja Matukio, Omary Baraka anaendelea kuwa |Mkurugwenzi
Mtendaji, Amigolas anakuwa Meneja wa Bendi, Luiza Mbutu anaendelea kuwa
kiongozi wa bendi, akisaidiwa na Saleh Kupaza. Kiongozi wa wanenguaji
anaendelea kuwa Asha Sharapova kwa wanawake na kwa wanaume anaendelea
kuwa Sidy Boy. Shughuli hii imefanyika katika ukumbi wa Mango Garden,
Kinondoni, asubuhi hii.
|
No comments:
Post a Comment