Lyamba Lya Mfipa
Na Joachim Nyambo
Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com
Tuesday, June 5, 2012
WALIOKUFA AJALI YA COASTA NA LORI WAFIKIA 13
Mkurugenzi Mkuu athibitisha kuwa mpaka sasa watu 13 wamefariki na Majeruhi kufikia 20 , Tunaomba Radhi kwa picha mtakazo ziona
Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa Dr.Eliuta Sankey akithibitisha vifo vya Abiria 13 na Majeruhi 20
MMOJA WA MAJERUHI AKIPATA HUDUMA
ASKARI NA WASAMARIA WEMA WAKISHUSHA MAITI KWENYE GARI TAYARI KUZIINGIZA CHUMBA CHA MAITI
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment