Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Thursday, February 16, 2012

BREAKING NEWZZZZZZZZZZZZZ BASI LA HAPPY NATION LAPATA AJALI

Basi la kampuni ya Happy Nation lililokuwa likitokea jijini Mbeya kwenda Dar es salaam leo limepata ajali baada ya kuanguka liliposhindwa kuumudu mteremko wa  TAZAMA, maarufu kama Pipeline. 

Abiria waliopanda basi la kampuni ya Nganga Line wanasema watu wamejeruhiwa vibaya ila hakuna vifo. Basi hilo likiwa kwenye mwendo kasi lilitaka kulipita basi la Nganga, lakini kukawa na lori linapandisha mlima huo, ndipo dereva akalazimika kulirudisha nyuma ya basi la Nganga na kuligonga kwa nyuma na kupinduka. Abiria wa basi la Nganga wamesalimika wote. 
 
Habari zaidi endelea kutembelea blogu hii

No comments:

Post a Comment