Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Thursday, February 23, 2012

HABARI KATIKA PICHA

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Husein Kandoro (Katikati ya waliokaa) akiwa na wanawake wajasiriamali wanaoshiriki semina iliyoandaliwa na shirika la viwango Tanzania TBS
Kampuni ya simu ya Vodacom Tanzania ilipotoa msaada wa mizinga ya kufugia nyuki kwa halmashauri za wilaya za mkoani Mbeya

No comments:

Post a Comment