Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Sunday, February 19, 2012

MSHINDI SHINDANO LA WANAHABARI MBEYA LA KUONJA BIA

Mshindi wa tatu katika shindano la kuonja bia lililofanyika mwishoni mwa wiki katika kiwanda cha TBL cha mkoani Mbeya Joachim Nyambo(Miliki wa mtandao huu) akikabidhiwa zawadi yake kutoka kwa Afisa mawasiliano na mahusiano wa kampuni hiyo Edith Mushi.Mshindi wa kwanza wa shindano hilo alikuwa Sada Matiku(Chanel Ten),wapili Patrick Cosisma(Highland Fm)

No comments:

Post a Comment