MSHINDI SHINDANO LA WANAHABARI MBEYA LA KUONJA BIA
Mshindi wa tatu katika shindano la kuonja bia lililofanyika mwishoni mwa wiki katika kiwanda cha TBL cha mkoani Mbeya Joachim Nyambo(Miliki wa mtandao huu) akikabidhiwa zawadi yake kutoka kwa Afisa mawasiliano na mahusiano wa kampuni hiyo Edith Mushi.Mshindi wa kwanza wa shindano hilo alikuwa Sada Matiku(Chanel Ten),wapili Patrick Cosisma(Highland Fm)
No comments:
Post a Comment