MBUNGE wa Viti Maalum kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Mbeya,Hilda Ngoye na Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya, Beatha Swai wamenusurika kifo baada ya gari walilokuwamo kugonga pikipiki na kisha kupinduka mtaroni.
Gari hilo yenye namba STK 2429 mali ya serikaoli ya mkoa ilikuwa miongoni mwa zile zilizokuwa katika msafara wa kumsindikiza makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dk.Mohamed Gharib Bilali aliyekuwa akielekea mkoani Iringa baada ya kumaliza ziara ya siku tatu mkoani Mbeya.
No comments:
Post a Comment