Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya uchaguzi wa chama cha soka Mbeya mjini MUFA Sambwee Shitambala ametuhumiwa kukalia taarifa za maandalizi ya uchaguzi huo.
Baadhi ya wadau wanasema uchaguzi huo haujataangazwa na watu hawajui lolote
Inasemekana uchaguzi huo ilikuwa ufanyike Februari 5 mwaka huu lakini sasa umeahirishwa na haijulikani utafanyika lini tena
No comments:
Post a Comment