Uchafu unaozagaa jirani na lango kuu la kuingilia shule ya Msingi Sinde jijini Mbeya
Afisa elimu mkoa wa Mbeya ametishia kuifunga shule ya msingi Sinde jijini Mbeya kutokana na uchafu uliopo jirani na shule hiyo kuhatarisha afya za walimu na wanafunzi shuleni hapo
No comments:
Post a Comment