Mkanganyiko wa kimawasiliano baina ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha soka mkoani hapa Mrefa Ben Mwamwaja na makamu wake Laurence Mwakitalu umesababisha mkutano wa chama hicho uliopangwa kufanyika mwishino mwa wiki jana kutofanyika.
Mwenyekiti alithibitisha mkutano upo mpaka siku ya mwisho kumbe katibu amekwishawajulisha wajumbe kuwa umeahirishwa na haijulikani utafanyika lini kwakuwa MREFA haina fedhaa kwa sasa
No comments:
Post a Comment