Familia ya Emanuel Ngalapa leo inatimiza miaka mitatu ya ndoa yao.Ni siku ya historia katika maisha yenu.Mengi mmevumilia na sasa mna mtoto mmoja.Hongereni sana
Mwenyezi Mungu awabariki na kudumisha pendo lenu.Kwa jina la Baba, la Mwana na la Roho mtakatifu Amen!!!!
No comments:
Post a Comment