Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Saturday, February 25, 2012

DK.BILALI AKIWA MBEYA VIJIJINI


 Makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Mohamed Gharib Bilal akiweka jiwe la msingi katika kituo cha wakulima kilichopo katika kata ya  Tembela Mbeya vijijini
 Akikata Utepe kufungua jengo hilo
Hapa akizungumza na mtaalamu wa uhamilishaji katika kituo hicho

No comments:

Post a Comment