Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Friday, February 24, 2012

WAFANYABIASHARA SOKO LA SOKOINE JIJINI MBEYA WATISHIA KUGOMA ENDAPO JIJI HAWATAWAJENGEA CHOO

Wafanyabiashara wa soko la sokoine jijini mbeya wametishia kugoma endapo jiji halita wajengea choo kwani tangu wahamie sokoni hapo toka soko kuu la uhindini lilipoteketea kwa moto halmashauri ya jiji haijajenga choo na ushuru wa soko wanachukua kila siku na choo kilichopo ni cha mfanyabiasha wa kuuza pombe na supu uwanjani hapo na kina matundu mawili hivyo hakikidhi hali halisi ya wafanyabiashara hao takribani wanaofikia 800

Hiki ndicho choo kilichopo eneo hilo la soko chenye matundu mawili na kinahudumia zaidi ya watu 800

No comments:

Post a Comment