Tanzania Prisons kesho watajitupa uwanjani kukwaana na Mbeya city katuika uwanja wa Sokoine jijini Mbeya katika mzunguko wa pili wa ligi daraja la kwanza.Makamu mwenyekiti wa MREFA Ben Mwamwaja asema maandalizi yote yamekabilika na kinachosubiriwa ni mtanange
No comments:
Post a Comment