Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Sunday, February 26, 2012

MATUKIO MBALIMBALI KATIKA ZIARA YA MAKAMU WA RAIS DK.MOHAMED GHARIB BILAL MKOANI MBEYA

 Baadhi ya wakazi katika mji mdogo wa Tunduma waliojitokeza kumuona Dk.Bilal alipokwenda kufungua soko kuu la Tunduma
 Kutokana na ufinyu wa eneo ililazimu baadhi kupanda juu ya majengo ili wasipitwe na kile kilichokuwa kikiendelea katika eneo la soko
Ilikuwa nisawa na kuhatarisha maisha yao lakini hawakuwa na namna kutokana na umati mkubwa wa watu waliohudhuria
 Walikuwa karibu kabisa na nyaya za umeme lakini potelea mbali mpaka wafaidi kama wenzao
 Lakini kwa Mbeya vijijini hali ilikuwa Hivi
 Namna mbalimbali ya kushangilia ujio wa kiongozi wao wa kitaifa,
 Hawasemi kidumu chama chetu nooooo wanasema idumu serikali yetu izidi kutuletea mambo mazuri kijijini Kwetu
Je kuvaa nguo hizi kunamaanisha mapenzi ya kweli kwa chama kinachotumia rangi hizi ama ndiyo mtoko wa kwetu.Alijiandaa tu kwaajili ya kutoa burudani.Burudani ambayo ilionekana kupendwa na kila mmoja aliyefika eneo hili
Akiwa jijini Mbeya Dk.Bilal akaweka jiwe la msingi katika hosteli inayoendelea kujengwa

No comments:

Post a Comment