Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Friday, February 17, 2012

ZIARA YA WAANDISHI WA HABARI KATIKA KIWANDA CHA TBL MBEYA

 Baadhi ya waandishi wa habari mkoani Mbeya wakipumzika baada ya kufika katika kiwanda cha bia cha TBL mkoani hapa.Lengo la ziara hii ni kushiriki shindano la kujaribu Bia (Beer Testing)
Afisa mawasiliano na mahusiano wa kampuni ya TBL Idith Mushi akiwakaribisha waandishi wa habari tayari kwa ziara ya kutembelea kiwanda na kushiriki shindano la Beer Testing

No comments:

Post a Comment