Baadhi ya waandishi wa habari mkoani Mbeya wakipumzika baada ya kufika katika kiwanda cha bia cha TBL mkoani hapa.Lengo la ziara hii ni kushiriki shindano la kujaribu Bia (Beer Testing)
Afisa mawasiliano na mahusiano wa kampuni ya TBL Idith Mushi akiwakaribisha waandishi wa habari tayari kwa ziara ya kutembelea kiwanda na kushiriki shindano la Beer Testing
No comments:
Post a Comment