Maandalizi mchezo kati ya Simba na Vila Squad yakamilika
MAANDALIZI kwa ajili ya pambano la Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Simba na Villa Squad yamekamilika. Kikosi kamili cha Simba kimeingia kambini katika hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam jana na wachezaji wako katika hali nzuri.
No comments:
Post a Comment